Alhamisi, 24 Septemba 2015

2: KILIMO CHA NYANYA

Image result for anna f1 tomato pictures

Image result for anna f1 tomato pictures
BAADHI YA MAMBO MUHIMU UNAYOPASWA KUFAHAMU KUHUSU KILIMO CHA NYANYA; 

Kwa mawasiliano ili kujipatia PDF yako yenye maelezo ya kina kuhusu kilimo cha nyanya piga simu namba 0744302645. Bei ya PDF ya zao moja ni tsh 15,000.
=======================

Changamoto kubwa inayowakabili wakulima wa nyanya kwa sasa nchini Tanzania.


-Kwa sasa kuna mdudu anaitwa Tuta Absoluta.. au waswahili wanaimuita Kanitangaze (MAANA AKIKUVAMIA SHAMBANI HAKUNA NAMNA UTAACHA KWENDA KUMSIMULIA) Anakausha matunda, na kuyaozesha pamoja na kusababisha afya ya mmea kudhoofika.

CHANGAMOTO KUBWA WASIYOIJUA WAKULIMA NI KUWA DAWA ZA KUZUIA MDUDU HUYU INABIDI ZIPIGWE KUANZIA MCHE UNAPOKUWA KATIKA KITALU.. 

WENGI WA WAKULIMA HUKIMBIZANA KUTIBU MDUDU HUYU WANAPOONA MATUNDA YAMEVAMIA (YAMEOZA, AU YAKO NA MAKOVU KATIKA KISHIKIO Calyxn)
LAKINI DAWA DHIDI YA MDUDU HUYO ZIPO KWA SASA


Dawa zilizopo madukani na zitumikazo kumdhuru Tuta Absoluta (Kanitangaze)



1. 

2. Nimbecidin-
3. .....
4. ........


AGRONOMY YA NYANYA

Aina za nyanya ziko nyingi 

1.Fupi kiasi (Semi-Determinent)

Mifano za nyanya ambazo ni fupi kiasi



2. Ndefu (Indeterminent)-AINA HIZI NDEFU HUWEZA KUVUNWA MFULULIZO KWA MIEZI 

Mifano ya nyanya aina ndefu ni 


3. AINA ZA OPV-OPEN POLLINATED VARIETIES


AGRONOMY YA NYANYA

i. MAZINGIRA
Joto la kadri 20-35 degree sentgrade

ii.UDONGO
Nyanya zinastawi kwenye udongo wa namna gani, na PH ya ngapi?

iii. NAFASI YA KUPANDA
-Umbali wa tuta hadi tuta,


iv. MBEGU

v. UPANDAJI
-Muda wa mbegu kuota

vi; KAZI ZA KUFANYA SHAMBANI

-Baada ya kupandikiza

-Wakati wa maua ni Muhimu kufanya nini?

-Matunda yakijitengeneza ufanye nini?

vii. Wadudu 
Wadudu wasumbufu wa nyanya, ni 
1.funza wa matunda, wanaokata miche michanga, 
2.Wadudu wanao kwaruza (scratch) majani. 
3.Leaf miner (Wachora ramani katika majani)
4.......
5.......


viii. Magonjwa

1. Kinyaushi cha kwanza 
2.Kinyaushi cha mwisho 
3.Magonjwa ya bakteria 
4. Magonjwa ya ukungu(Unga mweupe katika matunda), 
5. Baka jani 
6......
7........

-Nini cha kufanya kudhibiti wadudu na magonjwa?

viii. Muda wa kukomaa matunda ufanye nini??
-

Mavuno
Eka moja inaweza kutoa cret ....

Soko/Bei
-Nyanya yenye bei znuri ni ile ya inayoingia sokoni kuanzia mwezi wa 


Gharama za kuhudumu shamba la Nyanya kwa eka 1 ni tsh? 
xxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxxx xxxxxxxxxxxxxxxxxxx

Hakuna maoni:

7. KILIMO CHA TIKITI MAJI (WATER MELON)-UTANGULIZI

KARIBU SANA, KAMA UNAPENDA UJIPATIE KITABU (HARD COPY) CHAKO CHA KILIMO CHA TIKITI MAJI, KARIBU SANA BEI YAKE NI TSH 15,000 Hii hapa chini...